Mpiga picha wa Diamond ajiuzulu WCB, ataja sababu
- Kifesi na Diamond walikuwa marafiki wakubwa sana licha ya mwanamuziki huyo kuwa bosi wake
- Mpiga picha huyo alimlaumu Diamond kwa kuvunjika kwa ‘ndoa’ yake na Zari
Mpiga picha binafsi wa staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz na WCB kwa jumla Andrew Kisula almaarufu 'Kifesi' alitangaza kighafla kujiuzulu kazi yake baada ya kuifanya kazi hiyo kwa muda mrefu.
Wakati akijiuzulu, Kifesi alisema alikuwa akibadilisha mazingira na wakati huohuo kumtupia tope mwanamuziki huyo.
[Read More]