Serikali yaziruhusu shule 15 zilizoko msitu wa Mau kufunguliwa
- Awali serikali ilikuwa imeamuru shule hizo kufungwa katika juhudi za kuwafurusha wakazi kutoka msitu huo
- Shule hizo 15 zilisemekana kufutwa kwani zilikuwa zimejengwa kwenye ardhi ya umma
- Serikali wakati wa kubatilisha uamuzi huo imesema itawaruhusu watahiniwa kufanya mtihani wao wa kitaifa bila tashwishi
Serikali imebatilisha amri yake ya kufungwa kwa shule 15 zilizoko Msitu wa Mau, ambazo zilikuwa zimefungwa kufuatia operesheni inayotarajiwa kuanza ya kuwafurusha wakazi 60,000 kwenye msitu huo.
[Read More]